Rein Paulsen: Wakati wa kuchukua hatua kuepusha baa la njaa Sudan ni sasa
MP3•Episoder hjem
Manage episode 413931000 series 2027789
Innhold levert av UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Alt podcastinnhold, inkludert episoder, grafikk og podcastbeskrivelser, lastes opp og leveres direkte av UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations eller deres podcastplattformpartner. Hvis du tror at noen bruker det opphavsrettsbeskyttede verket ditt uten din tillatelse, kan du følge prosessen skissert her https://no.player.fm/legal.
Katika mahojiano na Idhaa ya Umoja wa Mataifa, afisa mwandamizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) anayehusika na masuala ya dharura na mnepo, Rein Paulsen ametahadharisha kuwa hatari ya kutokea baa la njaa nchini Sudan ni halisi na kwa hivyo wakati wa kuchukua hatua ni sasa. Sabrina Moshi anasimulia.
…
continue reading
100 episoder